Sherehe ya Uaskofu
Mhashamu Jude Thaddaeus S. Ruwa ichi OFM cap. Askofu Mkuu Jimbo Kuu Dar es Salaam , anawaalika Maklero, Watawa na waamini wote wa Jimbo Kuu Dar es Salaam kushiriki adhimisho la MISA TAKATIFU ya kupewa daraja Takatifu ya uaskofu kwa Wahashamu Maaskofu Wateule Henry Mchamungu na Stephano Musomba OSA. Maaskofu hawa watawekwa Wakfu katika Daraja Takatifu la Uaskofu Tarehe 21 Septemba 2021 katika viwanja vya msimbazi Center saa 3:00 Asubuhi.
Kufuatia mwaliko huo;
Viongozi kutoka Mashirika mbalimbali. Parokia mnaomba kuandaa zawadi kwaajili ya Maaskofu hao wateule.
Halikadhalika Viongozi kutoka Dekania na Parokia mnahamasishwa kuandaa Matoleo ya siku hiyo.
watakaokuwa tayari wanaweza kuwakilisha mapema pale inapowezekana
- Matukio
- Juinge na Kanisa
- Neno kuu la mwaka 2018
- Kalenda ya matukio 2018
- Ramani ya Tovuti
- Biblia Mtandaoni na zaidi
- Liturujia ya Kanisa Katoliki
- Mkate wa siku ya LeoLorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore Ut enim ad minim magna aliqua”2 kor 2:16