Kuhusu Dekania

Kuhusu Dekania

PAROKIA

Parokia ni muundo wa kanisa katoliki ambao unatokana na sehemu ya jimbo(dayosisi) unapo fanyika uchungaji wa kila siku chini ya kasisi anayemwakilisha askofu.
Kiini cha maisha ya parokia ni adhimisho la ekarist siku ya jumapili ambapo jumuiya nzima ya kikristo ya eneo husika inakusanyika ili kusikiliza neno la mungu, imsifu mungu na kumega mkate
Jina hilo lilianza kutumika katika karne Ya (iii) kutokana na neno la kigiriki(napoikia)=ujirani linalotumika katika tafsiri ya biblia ya septuaginta kwa maana ya kukaa ugenini
Kiongozi wa parokia ni Paroko akisaidiwa na paroko msaidizi, Viongozi katika kamati tendaji ya parokia wakiwa ndio kiungo kikubwa katika utendaji wa shughuli za kilasiku za Parokia, wakisaidiwa na viongozi kutoka katika halmashauri ya walei ya parokia na vyama vya kitume.
Zipo parokia 109 zilizo chini ya jimbo la Dar es salaam mpaka sasa na bado zinaendelea kuzaliwa siku hadi siku.


ORODHA YA VIONGOZI WA DEKANIA, JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM

NA
DEKANIA
MWENYEKITI
MAKAMU M/KITI
KATIBU
KATIBU MSAIDIZI
MHAZINI
1.
ST. JOSEPH
CLARA KANZA
0715 598988
MEJ.EMIL MADANDALA
0717 999901
MICHAEL MUSHI
0754 391079
MATHIAS MRIMI
0713 436212
AVELIN CHUWA
0655 556674
2.
UBUNGO
DR. CHRISTIAN UISO
0754 284959
DAVID LUKUBA
0657 072030
DEOGRATIUS SALUFU
0659 237570
AGNES OLOMI
0714 323423
ARCADO NCHINGA
0715 264068
3.
KIBAHA
MICHAEL NCHIMBI
0653 427047
PHILI HUMBIYE
0713 210839
ROSEMARY LUCAS
0625 918988
ADAM NYONI
0713 623869
BETTYMWAKALINGA
0715 292310
4.
UKONGA
DR. DAUDI CHACHA
0754 363117
EPHRAM KAMOYO
0713 318286
VALENTINE MHAGAMA
0714 873088
RAYMOND MMEWA
0767 613723
FLORA TARIMO
0683 122602
5.
ST. GASPAR
ADATUS KAPESA
 0754 283606
PASSIAN KAVISHE
0754 369868
ULRICH MWINYIEICHI
0753 498549
SCOLASTICA MCHOME
0713 453768
NELLY HALLA
0754 694786
6.
ST. PETERS
RAY  MFUNGAHEMA
0786 069133
LINUS NGOWI
0713 213102
BONIFACE NJOMBE
0887 669266
HILDER NYAMBO
0714 168140
DATIVA MINJA
0713 249072
7.
KIGAMBONI
FRANCIS GWANKISA
0716 542229
ELIZABETH PENGO
0755 380716
VITUS MAZUGE
0715 585226
AGRIPINA KIMARIO
0755 540194
RICHARD MASANJA
0713 304051
8.
SEGEREA
JEREMIAH DAFFA
0713 339247
MAGDALENA GERSON
0754 855113
ROSE GERALD
0655 336813
FREDERICK AKILIMALI
0763 210516
BALTAZAR KASUBI
0762 302023
9.
KILIMAHEWA
ERIC MWAMBELEKO
0784 315299
LAURENT E. MKUMBI
0715 578998
ANTHONY BERNARD
0784 683222
THOMAS MLIMIRA
0718 886829
MONICA GODFREY
0713 429329




Kuhusu Kanisa Katoliki

Ofisi ya Halmashauri ya Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam inapatikana makao makuu ya Jimbo,
Kanisa la St. Joseph, barabara ya Sokoine na Manseld street.

P.O Box 167, Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 762 024 199
Email: mawasiliano@waleijimbodaresalaam.org
            darwaleijimbo@yahoo.com
Web: www.waleijimbodaresalaam.org

Kwa Habari kemkem za Kanisa jiunge nasi

Andika email yako hapo juu, na upokee taarifa za H/walei

Copyright © 2025. All Rights reserved by H/Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam