Kalendar ya matukio 2018

Kalenda ya matukio 2018

MWEZI

TAREHE

TUKIO/SHUGHULI

WAHUSIKA

SEHEMU/MAHALI

JANUARI

01.01.2018

Sherehe ya Maria Mtakatifu mama wa Mungu

Utume wa Fatima/waamini wote

Maparokiani

05.01.2018

Ushemasi

Askofu na Mashemasi

Kanisa kuu la Mt. Yosefu

12.01.2018

Kumbukumbu ya Wafia Dini Wamisionari

Waamini wote

Kituo cha Hija Pugu.

13.01.2018

Misa ya shukrani

WAWATA jimbo

Kanisa kuu la Mt. Yosefu

20.01.2018

Hija Bagamoyo

Lejio Mariae

Bagamoyo

FEBRUARI

07.02.2018

Misa ya Shukrani- walei jimbo

Wajumbe wa H/walei jimbo

Parokia ya Msimbazi

10.02.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/walei – Dekania ya Kilimahewa

Parokia ya Mt. Yosefu

14.02.2018

Jumatano ya Majivu

Waamini wote

Maparokiani

17.02.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Ukonga

Parokia ya Mt. Yosefu

24.02.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Kigambaoni

Parokia ya Mt. Yosefu

MARCH

02.03.2018

Ibada ya Umoja wa Makanisa

WAWATA

AICT

10.03.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Segerea

Parokia ya Mt. Yosefu

17.03.2018

UWAKA day

Wanaume wote

Kituo cha Hija Pugu

17.03.2018

Hija

Moyo Mt. Wa Yesu

Kituo cha Msimbazi

17.03.2018

Mafungo ya Kwaresma

Viongozi wa H/walei

Maparokiani

19.03.2018

Sherehe ya Mt. Yosefu

Waamini wote

Kanisa kuu la Mt. Yosefu

24.03.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Ubungo

Parokia ya Mt. Yosefu

25.03.2018

Dominika ya Matawi

Waamini wote

Maparokiani

30.03.2018

IJUMAA KUU

Waamini wote

Maparokiani

31.03.2018

Hija

Arimathea

Kituo cha Hija Pugu

APRILI

01.04.2018

PASAKA

Waamini wote

Maparokiani

07.04.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Mt. Gaspar

Parokia ya Mt. Yosefu

08.04.2018

Mkutano wa H/walei - jimbo

H/walei jimbo

Parokia ya Ukonga

08.04.2018

Sikukuu ya Huruma ya Mungu

Moyo Mt. Wa Yesu

Maparokiani

21.04.2018

Hija

Mt. Vincent de Paul

Kituo cha Hija Pugu

21.04.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Mt. Petro

Parokia ya Mt. Yosefu

MEI

01.05.2018

Hija – uzinduzi wa Mwezi wa Maria

Wanaume wote (UWAKA)

Kituo cha Hija Pugu

05.05.2018

Semina ya H/walei jimbo

Viongozi wa H/Dekania za Mt. Petro,Mt. Gaspar, Ubungo na Kibaha

Parokia ya Mt. Yosefu

12.05.2018

Semina ya H/walei jimbo

Viongozi wa H/Dekania za Kigamboni, Kilimahewa, Mt. Petro, Ubungo, Ukonga na mt. Yosefu

Parokia ya Mt. Yosefu

13.05.2018

Kongamano la Maadili na Neno la Mungu

Wazee na Wastaafu

Itatangazwa

20.05.2018

PENTEKOSTE

Halmashauri ya walei

Maparokiani

26.05.2018

Hija ya Wanawake Wakatoliki

WAWATA

Kituo cha Hija Pugu

JUNI

03.06.2018

EKARISTI

Waamini wote

Maparokiani

08.06.2018

Sikukuu ya Moyo Mt. Wa Yesu

Moyo Mt. Wa Yesu

Maparokiani

09.06.2018

Hija

Moyo Mt. Wa Yesu

Kituo cha Hija Pugu

16.06.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania yaKibaha

Parokia ya Mt. Yosefu

23.06.2018

Semina za Kidekania

Viongozi H/dekania ya Mt. Yosefu

Parokia ya Mt. Yosefu

24.06.2018

Moyo Mt. Wa Yesu

Hija

Kituo cha Hija Pugu

22-25.6.2018

Hija wanawake wakatoliki

WAWATA

Zanzibar

10.06.2018

Hija

Arimathea

Bagamoyo

JULY

01.07.2018

Mkutano wa Halmashauri ya walei – jimbo

Kamate Tendaji – jimbo

Itatangazwa

07.07.2018

Upadrisho

Kamati ya upadrisho - jimbo

Itatangazwa

10.06.2018

Hija

Arimathea

Bagamoyo

14.07.2018

Semina za Kidekania

Viongozi wa H/Dekania ya Kilimahewa

Parokia ya Mt. Yosefu

21.07.2018

Hija

SSVP

Bagamoyo

25-29.7.2018

Ziara ya H/jimbo kujifunza kutoka majimbo mengine (Malezi ya Familia/JNNK na kutegemeza Utume wa Walei

Kamati Tendaji – jimbo

Itatangazwa

31.07.2018

Kongamano la Ekaristi

CPT

Itatangazwa

AGOSTI

04.08.2018

Semina za kidekania

Viongozi H/dekania ya Ukonga

Parokia ya Mt. Yosefu

05.08.2018

Siku ya kumwombea Askofu wa jimbo – Mwadhama (Birthday)

Waamini wote

Maparokiani

11.08.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/dekania ya segerea

Parokia ya Mt. Yosefu

15.08.2018

Kupalizwa mbinguni Bikira Maria

Walejio

Parokia ya Manzese

18.08.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/walei dekania ya Kigamboni

Parokia ya Mt. Yosefu

25.08.2018

Ziara ya Malezi Visiga

WAWATA jimbo

Seminari ndogo ya Visiga

28.08.2018

Sikukuu ya Mt. Augustino

Wazee na Wastaafu

Maparokiani

SEPTEMBA

01.09.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/walei - jimbo

Parokia ya Mt. Yosefu

14.09.2018

Sikukuu ya kutukuka kwa Msalaba na Hija Pugu kuona nakala halisi ya Sanda ya Yesu

Waamini wote

Kituo cha Hija Pugu

15.09.2018

Hija

Wazee na Wastaafu

Bagamoyo

22.09.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/dekania ya Mt. Petro

Parokia ya Mt. Yosefu

30.09.2018

Kumbukumbu ya Mt. Vincent wa Paul

SSVP

Itatangazwa

OKTOBA

07.10.2018

Mkutano wa halmashauri ya walei - jimbo

Halmashauri ya walei - jimbo

Itatangazwa

13.10.2018

Hija

Scout

Kituo cha Hioja Pugu

13.10.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/dekania ya Mt. Petro

Parokia ya Mt. Yosefu

14.10.2018

Siku ya UWAKA kufanya ziara na kuwatembelea Dada Wadogo

UWAKA - jimbo

Nyumba ya Dada Wadogo – Mbagala.

20.10.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/dekania ya Kibaha

Parokia ya Mt. Yosefu

28.10.2018

Hija

Moyo Mt. Wa Yesu

Bagamoyo

NOVEMBA

01.11.2018

Watakatifu wote

SHIVYAKI

Magomeni

02.11.2018

Marehemu wote

Misa Takatifu

Maparokiani

03.11.2018

Semina ya H/walei - jimbo

Viongozi wa H/dekania ya Kigamboni, Kilimahewa, Mt. Yosefu, Ukonga na Segerea

Parokia ya Mt. Yosefu

10.11.2018

Semina ya walei jimbo

Viongozi wa H/dekania ya Mt. Petro, mt. Gaspar, Ubungo na Kibaha

Parokia ya Mt. Yosefu

17.11.2018

Semina juu ya mavuno na tegemeza jimbo

Kamati ya Tegemeza jimbo

Kituo cha Msimbazi

24.11.2018

Siku ya Mavuno Kijimbo

Kamati ya Tegemeza jimbo na H/walei

Kituo cha Msimbazi

25.11.2018

Sikukuu ya Bwana wetu Yesu Kristo Mfalme

Waamini wote

Maparokiani

DISEMBA

01.12.2018

Hija

WAWATA

Bagamoyo

02.12.2018

Mkutano wa H/walei - jimbo

Halmashauri ya walei - jimbo

Itatangazwa

08.12.2018

Semina za kidekania

Viongozi wa H/dekania ya Mt. Yosefu

Parokia ya Mt. Yosefu

08.12.2018

Nadhiri za Utawa – Dada Wadogo wa Mt. Fransisko wa Azizi

Utume wa Wanaume katoliki - jimbo

Nyumba ya Dada Wadogo wa Fransisko wa asizi – Mbagala.

09.12.2018

Sherehe ya B/M Mkingiwa Dhambi ya asili – Msimbazi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Waamini wote

Maparokiani

25.12.2018

CHRISTMAS

Waamini wote

Maparokiani

26-28.12.2018

Kongamano na Misa ya shukrani

Watumishi wa Altare

Visiga Seminari

28.12.2018

Utoto Mtakatifu

Kituo cha msimbazi

31.12.2018

Beach Mass

Vijana wote

Mbweni Beach

31.12.2018

Mkesha wa mwaka mpya

TYCS

Don Bosco

ANGALIZO:

  1. Muda wa matukio yaliyoorodheshwa au mabadiliko ya tarehe yatatangazwa kabla ya tukio lenyewe.
  2. Mikutano, vikao au matukio ya dharura yatatangazwa kwa wakati ufaao.
  3. Kamati Tendaji ya Halmashauri ya Walei Jimbo hukutana kila Jumanne ya kwanza ya mwezi.


Kuhusu Kanisa Katoliki

Ofisi ya Halmashauri ya Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam inapatikana makao makuu ya Jimbo,
Kanisa la St. Joseph, barabara ya Sokoine na Manseld street.

P.O Box 167, Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 762 024 199
Email: mawasiliano@waleijimbodaresalaam.org
            darwaleijimbo@yahoo.com
Web: www.waleijimbodaresalaam.org

Kwa Habari kemkem za Kanisa jiunge nasi

Andika email yako hapo juu, na upokee taarifa za H/walei

Copyright © 2025. All Rights reserved by H/Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam